Viungo vya chakula ni muhimu kwa afya na kufanya chakula kuwa na muonekano mzuri na harufu nzuri.
Katika makala haya ntakueleza baadhi ya viungo muhimu kila mpishi anayeanza kutumia viungo vya chakula anapaswa kufahamu kwa faida ya kiafya.
Unga wa kitunguu swaumu halisi, kuwa na unga wa kitunguu swaum ni njia nzuri ya kuongeza radha au kuchanganya na viungo vingine.
Pilipili manga
Kiungo hiki kina flovour nzuri kwa mapishi ya chakula mbalimbali. Kwa matumizi ya mapishi ya vyakula mbalimbali
Hata kama utaamua kutumia Zaatar (thyme)
Kiungo hiki kina radha nzuri kwa kuongeza kwenye mapishi ya nyama na Mchuzi unaweza kuongeza pia kwenye maboga mboga.
Binzari manjano
Kiungo hiki ni kwa vyakula vyenye radha tamu, tumia kwa kiwango kwenye chakula, pili, nyanya, sisi na bidhaa zingine.
Binzari nyembamba
Kiwango kidogo cha kiungo hiki kinaweza kuongeza radha isiyotarajiwa kwenye mapishi kama mayai au nyama ya kusagwa
Kungumanga
Kungumanga inafanya vizuri kwa vyakula vyenye ladha tamu na vyakula vikavu inatumika sana kwenye vitu vitamu.
Samaki wa kukaangwa kwa viungo vya chakula
Vyakula vya mboga mboga.